Friday, December 06, 2013

Riyama Ally aibeba fimbo ya mungu

Star wa filamu za kibongo anatarajia kuonekana kwenye filamu mpya inayoitwa fimbo ya mungu akiwa na waigizaji mashuhuri kama vile Mzee Majuto,Jengua pamoja na bi hindu

Kwenye filamu hiyo mpya na yatofauti Riyama amecheza nafasi ya muhusika mkuu

Picha chini ni baadhi ya picha wakiwa location

No comments:

Post a Comment