Tuesday, November 26, 2013

Wastara:nakaribisha matangazo ya bishara kwenye blog hii

Blog yangu ina husu maswala yaa filamu kwa ujumla,mimi sijataka kua mbinafsi ndio maana siweki habari zangu peke yangu.

Humu utajua habari za kuaminika za wasanii wa kitanzania mbali na ili pia kukiwa na hot news kwenye jamii utaipata pia habari za burudani zinanafasi yake

Matangazo ya maduka makubwa ya nguo na saloon

Maduka ya vcd na dvd pamoja na kampuni za kutengeneza filam yote yanatangazwa

Pia na matangazo mengine mengi yanatangazwa

Pongezi mtu kaoa,kaitimu chuo au sherehe ya kuzaliwa vyote natangaza mimi nipo kwa ajili ya watanzania

Kwa matangazo wasiliana kwa namba 0765 82 65 55 anaitwa Nassoro Ally ndio anausika na matangazo.

Asanteni

No comments:

Post a Comment