Tuesday, March 18, 2014

Amanda Poshy:ile habari ya uongo kuhusu mimi kubakwa imenipotezea furaha yangu ya maisha

Baada ya habari za uvumi kuwa mcheza filamu Amanda Poshy amebakwa,Amanda amekanusha na kusema hajawai kubakwa kwenye maisha yake na hiyo taarifa imemuumiza sana kwenye maisha yake

“Ni habari mbaya sana kwenye maisha yangu na watu walionisingizia wameniumiza sana

Ni habari ambayo imeumiza mpaka mashabiki wangu wa nje ya nchi wote wanapiga simu wanalaani hiyo habari wengine ata siwajui na sijui wanapata wapi namba zangua ila nashukuru mungu nikiwaelewesha wanaelewa“

No comments:

Post a Comment