Wednesday, January 15, 2014

Mdogo wake na Amanda Poshy afariki duni

Mdogo wa muigizaji wa filamu za kitanzania Amanda Poshy amefariki dunia asubui ya leo kwenye hospital ya taifa ya Muimbili jijini Dar es salaam

Akizungumza na mtandao huu Amanda amesema aliyefariki ni Shahista mtoto wa mama yake mdogo ambae alikua na mwaka mmoja na miezi miwili

Ata hivyo Amanda akutaja mtoto huyo alikua anauma nini

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amin

No comments:

Post a Comment