Thursday, March 06, 2014

Soma alichoandika mcheza filamu Bond Bin Sinnan siku ya birthday ya Farheen kwenye ukurasa wake wa facebook

Happy birthday Farheen Juma Kilowoko mungu
akupe afya, umri, akili timamu za kuijua dunia na
yeye Allah pia bila kusahau ukujaalie Upendo kwa
watu wote wao wakupende nawe uwapende
amiiiiin....thank u Wastara kwa
mualiko .....haahhaahaha chitaki pichaaaa..

No comments:

Post a Comment