Thursday, March 23, 2017

CLOUD 112 AWAVUTA WASTARA NA BARAFU SWEDEN KUFANYA MOVIE YA USIJISAHAU


  Wasanii wenye majina makubwa bongo movie Wastara Juma na Suleiman Barafu wapo nchini Sweden wakifanya stage play kwa watanzania wanaoishi nchini humo,kwa lengo la kuwaelimisha mambo mbalimbali ya kimaisha kupitia sanaa za jukwaani


 Aidha Wastara na Barafu wako nchini humo pia kwa maandalizi ya filamu ya Usijisahau inayoandaliwa na mcheza filamu mkongwe nchini Cloud 112
  Filamu hiyo yenye maudhui ya kislamu inaenga kuwafumbua macho watu,waishi kwa kumtegemea mungu wasijisahu wafanye ibada




No comments:

Post a Comment